MASHINDANO YA MICHEZO, BURUDANI YAAHIRISHWA MUSOMA VIJIJINI SABABU ZA UVIKO 19


 

Jimbo la Musoma Vijijini, mkoani Mara linaongozwa na Mbunge mahiri Profesa Sospeter Muhongo ambaye yuko mstari wa mbele kuhamasisha wananchi kushiriki katika shughuli mbalimbali za maendeleo bila kusahau michezo na burudani za kila aina zikiwemo ngoma za utamaduni na kupiga makasia.


Mwaka huu imekuwa bahati mbaya mashindano ya burudani hizo yameahirishwa kutokana na uwepo wa janga la  COVID-19.


Timu ya Mpira ya Wasaga ya Kijiji cha Kasoma, Kata Nyamrandirira ilikaribia sana kufuzu kucheza MPIRA LIGI YA KWANZA


Mdau,tafadhali sikiliza/angalia "VIDEO CLIPS"  za baadhi burudani zitolewazo jimboni humo.

Ofisi ya Mbunge

Jimbo la Musoma Vijijini

www.musomavijijini.or.tz


Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*