MASHINDANO YA MICHEZO, BURUDANI YAAHIRISHWA MUSOMA VIJIJINI SABABU ZA UVIKO 19


 

Jimbo la Musoma Vijijini, mkoani Mara linaongozwa na Mbunge mahiri Profesa Sospeter Muhongo ambaye yuko mstari wa mbele kuhamasisha wananchi kushiriki katika shughuli mbalimbali za maendeleo bila kusahau michezo na burudani za kila aina zikiwemo ngoma za utamaduni na kupiga makasia.


Mwaka huu imekuwa bahati mbaya mashindano ya burudani hizo yameahirishwa kutokana na uwepo wa janga la  COVID-19.


Timu ya Mpira ya Wasaga ya Kijiji cha Kasoma, Kata Nyamrandirira ilikaribia sana kufuzu kucheza MPIRA LIGI YA KWANZA


Mdau,tafadhali sikiliza/angalia "VIDEO CLIPS"  za baadhi burudani zitolewazo jimboni humo.

Ofisi ya Mbunge

Jimbo la Musoma Vijijini

www.musomavijijini.or.tz


Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

VITU 10 WANAUME WANAVYOPENDA ZAIDI TOKA KWA MWANAMKE — SIYO SURA, SIYO MWILI ❤️

WALIOCHUKUA FOMU CCM ZA KUWANIA USPIKA HAWA HAPA

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

RAIS SAMIA SIO RAIS JOYCE BANDA WA MALAWI, TANZANIA SIO KENYA

MJUE VIZURI KOCHA MPYA WA YANGA PEDRO

MATOKEO YA DARASA LA 7 YATANGAZWA

JESHI LA POLISI LATEKELEZA AGIZO LA RAIS SAMIA, LAONDOA KIZUIZI CHA KUTOTOKA NJE BAADA YA SAA 12 JIONI