MASHINDANO YA MICHEZO, BURUDANI YAAHIRISHWA MUSOMA VIJIJINI SABABU ZA UVIKO 19


 

Jimbo la Musoma Vijijini, mkoani Mara linaongozwa na Mbunge mahiri Profesa Sospeter Muhongo ambaye yuko mstari wa mbele kuhamasisha wananchi kushiriki katika shughuli mbalimbali za maendeleo bila kusahau michezo na burudani za kila aina zikiwemo ngoma za utamaduni na kupiga makasia.


Mwaka huu imekuwa bahati mbaya mashindano ya burudani hizo yameahirishwa kutokana na uwepo wa janga la  COVID-19.


Timu ya Mpira ya Wasaga ya Kijiji cha Kasoma, Kata Nyamrandirira ilikaribia sana kufuzu kucheza MPIRA LIGI YA KWANZA


Mdau,tafadhali sikiliza/angalia "VIDEO CLIPS"  za baadhi burudani zitolewazo jimboni humo.

Ofisi ya Mbunge

Jimbo la Musoma Vijijini

www.musomavijijini.or.tz


Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

BODABODA ALIPWA PIKIPIKI BAADA KUSAFIRI KWA BODA KWA SAA 10 MBEYA HADI DAR

ASANTE GWIJI YAYA TOURE KWA KUPASUA UKWELI UKWELI KUPENDELEWA KWA MOROCCO

CONFIRMED HAWA NDIO WACHEZAJI WETU 12 WA KIGENI 🦾

Wasifu wa Kizza Besigye

RAIS WA SENEGAL AWAPATIA ZAWADI NONO WACHEZAJI WALIOFANIKISHA UBINGWA WA AFCON 2025

KILA MWANAMKE ANAPASWA KUFAHAMU HII...

NYOMI YA WASENEGALI WAKISHANGILIA UBINGWA WA AFCON 2025

TANZANIA YAPANDA VIWANGO VYA FIFA

CCM YAMJIBU BUTIKU CHADEMA KUFUNGIWA