SERIKALI YAAHIDI KUCHANGIA UJENZI WA KITUO CHA POLISI KISHAPU

 Mbunge wa Jimbo la Kishapu, Boniface Butondo ameiomba serikali kuchangia ujenzi wa Kituo cha Polisi ngazi ya Wilaya ya Kishapu ambacho wananchi wameshachangia sh. milioni 50. 


Butondo ametoa ombi hilo wakati wa kipindi cha maswali na majibu bungeni Dodoma leo Juni 16, 2022, na kujibiwa na Naibu Waziri Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Jumanne Sagini......

Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, Butondo akitoa ombi lake hilo.... 

 

IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
MSIMAMIZI MKUU
KAMANDA WA MATUKIO TV/BLOG
0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

DUNIA NI KATILI SANA KWA MWANAUME MASIKINI

MAKUNDI YA VILABU VINAVYOSHIRIKI KOMBE LA DUNIA 2025.

JINSI YA KUMTAWALA MWANAMKE HASA MKE (USIOE MKE WA MTU)

MUONEKANO WA UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA MSALATO

DIARRA KIPA BORA TANZANIA

CHINYELE ACHUKUA FOMU KUOMBA RIDHAA YA KUGOMBEA UBUNGE DODOMA MJINI