SERIKALI YAAHIDI KUCHANGIA UJENZI WA KITUO CHA POLISI KISHAPU

 Mbunge wa Jimbo la Kishapu, Boniface Butondo ameiomba serikali kuchangia ujenzi wa Kituo cha Polisi ngazi ya Wilaya ya Kishapu ambacho wananchi wameshachangia sh. milioni 50. 


Butondo ametoa ombi hilo wakati wa kipindi cha maswali na majibu bungeni Dodoma leo Juni 16, 2022, na kujibiwa na Naibu Waziri Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Jumanne Sagini......

Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, Butondo akitoa ombi lake hilo.... 

 

IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
MSIMAMIZI MKUU
KAMANDA WA MATUKIO TV/BLOG
0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

VITU 10 WANAUME WANAVYOPENDA ZAIDI TOKA KWA MWANAMKE — SIYO SURA, SIYO MWILI ❤️

WALIOCHUKUA FOMU CCM ZA KUWANIA USPIKA HAWA HAPA

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

RAIS SAMIA SIO RAIS JOYCE BANDA WA MALAWI, TANZANIA SIO KENYA

MJUE VIZURI KOCHA MPYA WA YANGA PEDRO

MATOKEO YA DARASA LA 7 YATANGAZWA

JESHI LA POLISI LATEKELEZA AGIZO LA RAIS SAMIA, LAONDOA KIZUIZI CHA KUTOTOKA NJE BAADA YA SAA 12 JIONI