SERIKALI YAAHIDI KUCHANGIA UJENZI WA KITUO CHA POLISI KISHAPU

 Mbunge wa Jimbo la Kishapu, Boniface Butondo ameiomba serikali kuchangia ujenzi wa Kituo cha Polisi ngazi ya Wilaya ya Kishapu ambacho wananchi wameshachangia sh. milioni 50. 


Butondo ametoa ombi hilo wakati wa kipindi cha maswali na majibu bungeni Dodoma leo Juni 16, 2022, na kujibiwa na Naibu Waziri Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Jumanne Sagini......

Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, Butondo akitoa ombi lake hilo.... 

 

IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
MSIMAMIZI MKUU
KAMANDA WA MATUKIO TV/BLOG
0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA