DUWASA IMEJIPANGA VILIVYO KUHUDUMIA WANANCHI MAONESHO YA NANE NANE NZUGUNI DODOMA+video


Baadhi ya wateja wakihudumiwa na Leila Jumanne wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Dodoma (DUWASA) katika banda la mamlaka hiyo kwenye viwanja vya Maonesho ya Nane Nane, Nzuguni, Dodoma.


PICHA NA RICHARD MWAIKENDA
 

Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Dodoma (DUWASA), Edwin Mwijage akielezea jinsi mamlaka hiyo ilivyojipanga kuwahudumia wateja wao katika Banda lao lililopo katika Maonesho ya Kilimo Nane Nane Kanda ya Kati Nzuguni Dodoma, ambapo amewakaribisha wananchi kwenda kwenye banda hilo kuhudumiwa.

IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA MSIMAMIZI MKUU KAMANDA WA MATUKIO TV/BLOG 0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

VITU 10 WANAUME WANAVYOPENDA ZAIDI TOKA KWA MWANAMKE — SIYO SURA, SIYO MWILI ❤️

WALIOCHUKUA FOMU CCM ZA KUWANIA USPIKA HAWA HAPA

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HUYU NDIYE WANU HAFIDH, CHAMPIONI WA ELIMU

MAWAZIRI WALIOACHWA HAWA HAPA

HISTORIA YA MAREHEMU MC PILIPILI

MJUE VIZURI KOCHA MPYA WA YANGA PEDRO