DUWASA IMEJIPANGA VILIVYO KUHUDUMIA WANANCHI MAONESHO YA NANE NANE NZUGUNI DODOMA+video


Baadhi ya wateja wakihudumiwa na Leila Jumanne wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Dodoma (DUWASA) katika banda la mamlaka hiyo kwenye viwanja vya Maonesho ya Nane Nane, Nzuguni, Dodoma.


PICHA NA RICHARD MWAIKENDA
 

Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Dodoma (DUWASA), Edwin Mwijage akielezea jinsi mamlaka hiyo ilivyojipanga kuwahudumia wateja wao katika Banda lao lililopo katika Maonesho ya Kilimo Nane Nane Kanda ya Kati Nzuguni Dodoma, ambapo amewakaribisha wananchi kwenda kwenye banda hilo kuhudumiwa.

IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA MSIMAMIZI MKUU KAMANDA WA MATUKIO TV/BLOG 0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

BODABODA ALIPWA PIKIPIKI BAADA KUSAFIRI KWA BODA KWA SAA 10 MBEYA HADI DAR

ASANTE GWIJI YAYA TOURE KWA KUPASUA UKWELI UKWELI KUPENDELEWA KWA MOROCCO

CONFIRMED HAWA NDIO WACHEZAJI WETU 12 WA KIGENI 🦾

Wasifu wa Kizza Besigye

RAIS WA SENEGAL AWAPATIA ZAWADI NONO WACHEZAJI WALIOFANIKISHA UBINGWA WA AFCON 2025

NYOMI YA WASENEGALI WAKISHANGILIA UBINGWA WA AFCON 2025

TANZANIA YAPANDA VIWANGO VYA FIFA

CCM YAMJIBU BUTIKU CHADEMA KUFUNGIWA

SPIKA ZUNGU KUHUDHURIA MKUTANO WA 28 WA MASPIKA WA MABUNGE YA JUMUIYA YA MADOLA IND