KAZI YA KUONGOZA NCHI SIYO LELEMAMA - KOMREDI CHONGOLO+video


 Katibu Mkuu wa CCM, Komredi Daniel Chongolo amesema kuwa ilani ya CCM yenye kurasa zaidi ya 300 ina mambo muhimu sana, Kazi ya kuongoza nchi siyo ya lelemama, ni kazi nzito, ngumu, ina wajibu hivyo inatakiwa kukaa mguu sawa kuhakikisha mambo yanaenda vizuri,

Ameyasema hayo alipokuwa akihutubia katika katika kikao na mwenyekiti wa shina namba 4, Deodatha Msasa katika jimbo la Kalenga Iringa Vijijini Mei 29,2023.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA