MJEMA AWATAHADHARISHA WATENDAJI WASIO NA MAJIBU SAHIHI KWA WANANCHI+video

Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi wa CCM, Sophia Mjema amewataka watendaji kujipanga vizuri kuhakikisha wanawapatia wananchi majibu sahihi kuhusu maendeleo ya miradi nchini. Ametoa agizo hilo alipokuwa akizungumza na vyombo vya habari kuhusu ziara ya kikazi ya siku saba ya Katibu Mkuu wa CCM, Komredi Daniel Chongolo iliyohitimishwa Juni Mosi, 2023 kwenye Uwanja wa Mwembetokwa mjini Iringa.

Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, Mjema akitoa agizo hilo....
IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
MSIMAMIZI MKUU
KAMANDA WA MATUKIO TV/BLOG
0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

UKWELI KUHUSU TENDO LA NDOA NA FAIDA ZAKE

HUYU NDIYE WANU HAFIDH, CHAMPIONI WA ELIMU

MAWAZIRI WALIOACHWA HAWA HAPA

๐Œ๐‰๐”๐„ ๐Š๐€๐‚๐‡๐„๐‘๐Ž ๐Œ๐™๐„๐๐€

HISTORIA YA MAREHEMU MC PILIPILI

VITU 10 WANAUME WANAVYOPENDA ZAIDI TOKA KWA MWANAMKE — SIYO SURA, SIYO MWILI ❤️

USIKUBALI KUWA LOFA KWA MWANAMKE...

NAPE AWAPA UKWELI VIJANA