MJEMA AWATAHADHARISHA WATENDAJI WASIO NA MAJIBU SAHIHI KWA WANANCHI+video

Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi wa CCM, Sophia Mjema amewataka watendaji kujipanga vizuri kuhakikisha wanawapatia wananchi majibu sahihi kuhusu maendeleo ya miradi nchini. Ametoa agizo hilo alipokuwa akizungumza na vyombo vya habari kuhusu ziara ya kikazi ya siku saba ya Katibu Mkuu wa CCM, Komredi Daniel Chongolo iliyohitimishwa Juni Mosi, 2023 kwenye Uwanja wa Mwembetokwa mjini Iringa.

Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, Mjema akitoa agizo hilo....
IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
MSIMAMIZI MKUU
KAMANDA WA MATUKIO TV/BLOG
0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA