MBUNGE KAIJAGE AIFIKIA MIKOA 23, HALMASHAURI 89 KUZUNGUMZA NA WATUMISHI

Mbunge wa Viti Maalumu kupitia kundi la Wafanyakazi, Dkt. Alice Kaijage ametoa mchango wake mwanana wakati wa mjadala wa makadirio ya Bajeti ya Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora ya mwaka 2025/ 2026 bungeni Dodoma Aprili 23, 2025.

Pamoja na mambo mengine,, Dkt. Kaijage ameupongeza uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan kwa kujali maslahi ya wafanyakazi na Chama Cha Mapinduzi (CCM), kwa demokrasia pana ya kuyajali makundi ya wafanyakazi kiasi cha kutenga viti maalumu bungeni.

 

IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA 
MSIMAMIZI MKUU 
KAMANDA WA MATUKIO ONLINE TV 
0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

UKWELI KUHUSU TENDO LA NDOA NA FAIDA ZAKE

HUYU NDIYE WANU HAFIDH, CHAMPIONI WA ELIMU

MAWAZIRI WALIOACHWA HAWA HAPA

๐Œ๐‰๐”๐„ ๐Š๐€๐‚๐‡๐„๐‘๐Ž ๐Œ๐™๐„๐๐€

HISTORIA YA MAREHEMU MC PILIPILI

VITU 10 WANAUME WANAVYOPENDA ZAIDI TOKA KWA MWANAMKE — SIYO SURA, SIYO MWILI ❤️

USIKUBALI KUWA LOFA KWA MWANAMKE...

NAPE AWAPA UKWELI VIJANA