IKIKUPENDEZA RAIS, MREJESHE BASHE WIZARA YA KILIMO - MWANYIKA

Mbunge wa Njombe Mjini ambaye pia ni Mwenyekiti wa Bunge na Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara, Kilimo na Mifugo, Deodatus Mwanyika akizungumza wakati wa ufunguzi wa Benki ya Ushirika Tanzania ambapo pamoja na mengine alimuomba Rais Samia Suluhu Hassan kwamba itakapompendeza katika Baraza la Mawaziri lijalo amrejeshe tena Hussein Bashe kuwa Waziri wa Kilimo kwani ameifanyia mambo makubwa sekta ya kilimo.
 

IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA 
MSIMAMIZI MKUU
 KAMANDA WA MATUKIO ONLINE TV 
0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

UKWELI KUHUSU TENDO LA NDOA NA FAIDA ZAKE

HUYU NDIYE WANU HAFIDH, CHAMPIONI WA ELIMU

MAWAZIRI WALIOACHWA HAWA HAPA

๐Œ๐‰๐”๐„ ๐Š๐€๐‚๐‡๐„๐‘๐Ž ๐Œ๐™๐„๐๐€

HISTORIA YA MAREHEMU MC PILIPILI

VITU 10 WANAUME WANAVYOPENDA ZAIDI TOKA KWA MWANAMKE — SIYO SURA, SIYO MWILI ❤️

USIKUBALI KUWA LOFA KWA MWANAMKE...

NAPE AWAPA UKWELI VIJANA