MAJALIWA AKAGUA MABANDA MBALIMBALI YA USHIRIKA, BENKI YA USHIRIKA

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa akikagua mabanda mbalimbali yanayojihusisha na vyama vya ushirika, kilimo na Taasisi mbalimbali alipohudhuria leo kongamano maalumu kuelekea uzinduzi wa Benki ya Ushirika utakaofanywa na Rais Samia Suluhu Hassan Aprili 28, 2025 jijini Dodoma.


Majaliwa akipata maelezo kuhusu Benki mpya ya Ushirika. Kushoto ni Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe.
Chama Kikuu cha Ushirika cha Tandahimba na Runali.
Akiwa Banda la BBT.

Chama Cha Ushirika Kyela (KYECU)




Majaliwa akipata maelezo kutoka kwa Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe.

Majaliwa akipata maelezo kuhusu kilimo cha mwani.


 IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA

MHARIRI

BLOG YA TAIFA YA CCM

0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

UKWELI KUHUSU TENDO LA NDOA NA FAIDA ZAKE

HUYU NDIYE WANU HAFIDH, CHAMPIONI WA ELIMU

MAWAZIRI WALIOACHWA HAWA HAPA

๐Œ๐‰๐”๐„ ๐Š๐€๐‚๐‡๐„๐‘๐Ž ๐Œ๐™๐„๐๐€

HISTORIA YA MAREHEMU MC PILIPILI

VITU 10 WANAUME WANAVYOPENDA ZAIDI TOKA KWA MWANAMKE — SIYO SURA, SIYO MWILI ❤️

USIKUBALI KUWA LOFA KWA MWANAMKE...

NAPE AWAPA UKWELI VIJANA