MAMBO YA BUNGENI DODOMA LEO APRILI 9, 2025

Wabunge wakiwa katika mkutano wa 10, Bunge la 12,  kikao cha pili cha Bunge la Bajeti bungeni Dodoma Aprili 9, 2025.

Wabunge wakiwa na furaha walipokuwa wakijadiliana jambo. Kutoka kushoto ni; Joseph Msukuma wa Geita Vijijini,  Mhandisi Leonard Chamuriho wa kuteuliwa ba Almas Maige wa Tabora Kaskazini.

Mbunge wa Gairo, Ahamad Shabiby (kulia) akijadiliana jambo na Mbunge wa Njombe Mjini, Deodatus Mwanyika na Mbunge wa Mpanda Vijijini.
Mbunge wa Mbeya Vijijini ambaye pia Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti, Oran Njeza akibadilishana mawazo na baadhi ya wabunge.
Mbunge wa Moshi Vijijini, Prof. Patrick Ndakidemi akijadiliana jambo na Mbunge wa Kuteuliwa, Shukrani Manya.
Mbunge wa Nyang'wale, Nassor Amar (kulia) wakiangalia jambo kwenye kishikwambi.

Mbunge wa Arumeru Mashariki, Dkt. John Pallangyo, akiuliza swali.

 Mbunge wa Moshi Vijijini, Prof. POatrick Ndakidemi akiuliza swali kuitaka serikali kuboresha baabara kuelea Mlima Kilimanjaro.

IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
MSIMAMIZI MKUU
KAMANDA WA MATUKIO ONLINE TV
0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

UKWELI KUHUSU TENDO LA NDOA NA FAIDA ZAKE

HUYU NDIYE WANU HAFIDH, CHAMPIONI WA ELIMU

MAWAZIRI WALIOACHWA HAWA HAPA

๐Œ๐‰๐”๐„ ๐Š๐€๐‚๐‡๐„๐‘๐Ž ๐Œ๐™๐„๐๐€

HISTORIA YA MAREHEMU MC PILIPILI

VITU 10 WANAUME WANAVYOPENDA ZAIDI TOKA KWA MWANAMKE — SIYO SURA, SIYO MWILI ❤️

USIKUBALI KUWA LOFA KWA MWANAMKE...

NAPE AWAPA UKWELI VIJANA