NJEZA AMPONGEZA CAG KWA KUBWA ANAYOIFANYA KITAIFA, KIMATAIFA

Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti, Oran Njeza ameipongeza Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali kwa kazi kubwa wanayoifanyakatika ukaguzi huo wa ndani ya Nchi kiasi hata cha kupatiwa kazi hata na Umoja wa Mataifa.

Pongezi hizo amezitoa alipokuwa akizungumza wakati wa mkuteano wa CAG Charles Kicheere na vyombo vya habari jijini Dodoma Aprili 16, 2025 kuhusu ripoti ya  ya ukaguzi ya mwaka 2023, 2024 iliyowasilishwa bungeni Dodoma.


Njeza ambaye pia ni Mbunge wa Mbeya Vijijini akitoa pongezi hizo kwa CAG Kicheere (kulia)


Baadhi ya viongozi wa Ofisi ya CAG.
















 

IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
 MSIMAMIZI MKUU 
KAMANDA WA MATUKIO ONLINE TV
 0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

UKWELI KUHUSU TENDO LA NDOA NA FAIDA ZAKE

HUYU NDIYE WANU HAFIDH, CHAMPIONI WA ELIMU

MAWAZIRI WALIOACHWA HAWA HAPA

๐Œ๐‰๐”๐„ ๐Š๐€๐‚๐‡๐„๐‘๐Ž ๐Œ๐™๐„๐๐€

HISTORIA YA MAREHEMU MC PILIPILI

VITU 10 WANAUME WANAVYOPENDA ZAIDI TOKA KWA MWANAMKE — SIYO SURA, SIYO MWILI ❤️

USIKUBALI KUWA LOFA KWA MWANAMKE...

NAPE AWAPA UKWELI VIJANA