RIDHIWANI AFANYIWA BONGE LA SAPLAIZI

Q

Ninawashukuru Wenzangu Ofisini kwa Sapraiz la Mwaka. Tukiwa kwenye kikao Kazi, Ghafla Boonge la Keki. 

Nakushukuru sana Naibu Waziri Cde. Patrobas Katambi, Katibu Mkuu Bi. Marry Maganga, Naibu Katibu Mkuu Bi. Zuhura Yunus na Menejiment nzima ya Ofisi ya Waziri Mkuu-Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu kwa hili. Mmefanya siku imekuwa njema sana na kujaza furaha. Nawashukuru sana . # HappyBirthdayToMe.






 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

UKWELI KUHUSU TENDO LA NDOA NA FAIDA ZAKE

HUYU NDIYE WANU HAFIDH, CHAMPIONI WA ELIMU

MAWAZIRI WALIOACHWA HAWA HAPA

๐Œ๐‰๐”๐„ ๐Š๐€๐‚๐‡๐„๐‘๐Ž ๐Œ๐™๐„๐๐€

HISTORIA YA MAREHEMU MC PILIPILI

VITU 10 WANAUME WANAVYOPENDA ZAIDI TOKA KWA MWANAMKE — SIYO SURA, SIYO MWILI ❤️

USIKUBALI KUWA LOFA KWA MWANAMKE...

NAPE AWAPA UKWELI VIJANA