SERIKALI KUJENGA MIUNDOMBINU YA UMWAGILIAJI KWENYE MASHAMBA YA CHAI - WAZIRI BASHE


 Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe amesema kuwa viwanda viwili vya kuchakata chai kuanzishwa nchini ili kuliokoa zao hilo. Viwanda hivyo vitajengwa wilayani Kilolo mkoani Iringa na Rungwe, Mbeya.

Pamoja na mambo mengine ameyasema hayo alipokuwa akihutubia katika mkutano Mkuu wa Wadau wa Tasnia ya zao hilo uliofanyika Aprili 8, 2025 jijini Dodoma.

Aidha, Bashe amesema kuwa serikali iko tayari kuweka miundombinu ya umwagiliaji kwenye mashamba ya chai nchini.

Pia amebainisha kuwa Benki ya Maendeleo ya Ushirika itazinduliwa Aprili 28, 2025 na itakuwa na matawi katika mikoa mbalimbali nchini.
Baadhi ya wajumbe wakiwa katika mkutano huo. 








IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA 
MSIMAMIZI MKUU 
KAMANDA WA MATUKIO ONLINE TV 
0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

UKWELI KUHUSU TENDO LA NDOA NA FAIDA ZAKE

HUYU NDIYE WANU HAFIDH, CHAMPIONI WA ELIMU

MAWAZIRI WALIOACHWA HAWA HAPA

๐Œ๐‰๐”๐„ ๐Š๐€๐‚๐‡๐„๐‘๐Ž ๐Œ๐™๐„๐๐€

HISTORIA YA MAREHEMU MC PILIPILI

VITU 10 WANAUME WANAVYOPENDA ZAIDI TOKA KWA MWANAMKE — SIYO SURA, SIYO MWILI ❤️

USIKUBALI KUWA LOFA KWA MWANAMKE...

NAPE AWAPA UKWELI VIJANA