TUTAWADUWAZA MASHABIKI WA SIMBA- AL MASRY

Kocha Mkuu wa klabu ya ๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ฌAl Masry Anis Boujelbene ameweka wazi kuwa anaenda kuuduwaza umati wa mashabiki watakaojitokeza kwenye mchezo wa kesho dhidi ya ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟSimba SC

"Kiwango kikubwa cha mashabiki wa simba watakaojitokeza kesho kitaongeza presha ya mchezo. Natumai tutavuka kwenda hatua inayofuata ili tuwafurahishe mashabiki zetu."

"Nyota wetu wapo tayari kuziba nafasi ya John Ebuka Tumejiandaa vya kutosha na tutafuzu kwenda hatua inayofuata.Tumeisoma Simba na tupo tayari kwa mabadiliko yoyote watakayofanya."

- Anis Boujelbene, Kocha wa ๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ฌAl Masry kuelekea mchezo wa kesho dhidi ya Simba.



 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

UKWELI KUHUSU TENDO LA NDOA NA FAIDA ZAKE

HUYU NDIYE WANU HAFIDH, CHAMPIONI WA ELIMU

MAWAZIRI WALIOACHWA HAWA HAPA

๐Œ๐‰๐”๐„ ๐Š๐€๐‚๐‡๐„๐‘๐Ž ๐Œ๐™๐„๐๐€

HISTORIA YA MAREHEMU MC PILIPILI

VITU 10 WANAUME WANAVYOPENDA ZAIDI TOKA KWA MWANAMKE — SIYO SURA, SIYO MWILI ❤️

USIKUBALI KUWA LOFA KWA MWANAMKE...

NAPE AWAPA UKWELI VIJANA