WAWEKEZAJI WANAODIDIMIZA ZAO LA CHAI, NI WAHUJUMU UCHUMI- MWANYIKA


Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara na Kilimo, ambaye pia ni Mbunge wa Njombr, Deodatus Mwanyika amempongeza Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe kwa kazi kubwa kwa kuifanyia mabadiliko makubwa sekta ya kilimo nchini ikiwemo kuchukua maamuzi magumu kwa lengo la kuhakikisha kilimo kinasonga mbele.

Amesema kuwa Katamati hiyo ya Bunge itaendelea kuwa bega kwa bega na yeye kuiuna zao la chai ambalo hivi sasa linadorora na kwamba hiyo kazi itakuwa ya kufa na kupona. Aidha amewajia juu wawekezaji wakubwa wanaodidimiza zao hilo tegemeo la wananchi wa hali ya chini na kwamba hatosita kuwaita kuwa ni wahujumu uchumi. Ameyasema hayo wakati wa Mkutano Mkuu wa Wadau wa Tasnia ya Zao la Chai uliofanyika kwenye Hoteli ya Morena jijini Dodoma Aprili 8, 2025, ambapo Mgeni rasmi alikuwa Hussein Bashe.


Mwanyika akijadiliana jambo na Waziri Bashe.

Waziri Bashe akizungumza wakati wa kufunga mkutano huo.

Mwenyekiti wa Bodi ya Chai Tanzania, Abdulmajid Nsekela akiongoza mkutano huo.

Mkuu wa Wilaya ya Rungwe, Jaffar Haniu akielezea changamoto wanazokumbana nazo wakulima wa chai ikiwemo ya kutolipwa malipo yao ya chai kwa muda wa miezi mitatu sasa.


Wadau wa Tasnia hiyo wakiwa katika mkutano huo.





IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA 
MSIMAMIZI MKUU 
KAMANDA WA MATUKIO ONLINE TV
 0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

UKWELI KUHUSU TENDO LA NDOA NA FAIDA ZAKE

HUYU NDIYE WANU HAFIDH, CHAMPIONI WA ELIMU

MAWAZIRI WALIOACHWA HAWA HAPA

๐Œ๐‰๐”๐„ ๐Š๐€๐‚๐‡๐„๐‘๐Ž ๐Œ๐™๐„๐๐€

HISTORIA YA MAREHEMU MC PILIPILI

VITU 10 WANAUME WANAVYOPENDA ZAIDI TOKA KWA MWANAMKE — SIYO SURA, SIYO MWILI ❤️

USIKUBALI KUWA LOFA KWA MWANAMKE...

NAPE AWAPA UKWELI VIJANA