WAWEKEZAJI WASIOYATUMIA MASHAMBA YA CHAI WANYANG'ANYWE- MWANYIKA


Mbunge wa Jimbo la Njombe Mjini, Deodatus Mwanyika ameishauri serikali kuwa tayari kuchukua maamuzu magumu kwa kuwanyang'anya wawekezaji wanaohodhi ardhi kubwa bila kuzifanyia kazi na kuwanyima vibali wawekezaji wanaowadhulumu wananchi katika sekta ya misitu Njombe.

Ametoa ushauri huo alipokuwa akichangia mjadala wa makadirio ya Bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu kwa mwaka 2025/ 2026 bungeni Dodoma Aprili 14, 2025.

 

IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA 
MSIMAMIZI MKUU
 KAMANDA WA MATUKIO ONLINE TV
 0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

BREAKING NEWS | MKURUGENZI MTENDAJI WA TANESCO AFARIKI DUNIA

BODI YA LIGI YAKIRI MAKOSA, WAIOMBA YANGA WAYAMALIZE

#MAKINIKIA: HEKAYA FUPI YA MJI WA KIHISTORIA WA MOSHI MKOANI KILIMANJARO

HUU NDIO UKWELI ULIVYO RAFIKI YANGU

RATIBA KAMILI YA HARUSI YA DIAMOND, ZUCHU

ZIJUE TABIA 9 ZA WANAWAKE HAWA....

TANZANIA NI MIONGONI MWA NCHI 10 ZINAZOONGOZA KWA MAZAO YA KILIMO AFRIKA

BODI YA LIGI SASA WAOMBA HEKIMA NA BUSARA ITUMIKE DERBY YA YANGA, SIMBA