WAZIRI KIKWETE AKAGUA MAANDALIZI YA MEI MOSI SINGIDA

Mapema leo WAZIRI wa Kazi, Vijana, Ajira na Watu wenye Ulemavu, RIDHIWANI KIKWETE, amepita Manispaa ya Singida, kuangalia maandalizi ya sherehe za Sikukuu ya Wafanyakazi ( Mei Mosi). Maandalizi yanakwenda vizuri na hatua iliyopo sasa ni zaidi ya Asilimia 88. 

"Ninawashukuru sana Viongozi wa TUCTA wakiongozwa na Katibu Mkuu Ndg. Henry Mkunda kwa kazi nzuri akishirikiana na uongozi wa Mkoa chini ya Cde. Halima Dendegu. " KIKWETE.

Mei Mosi hii inakwenda peleka Neema na mabadiliko makubwa Mkoa wa Singida. #KaribuniSingida #MeiMosi2025





 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

UKWELI KUHUSU TENDO LA NDOA NA FAIDA ZAKE

HUYU NDIYE WANU HAFIDH, CHAMPIONI WA ELIMU

MAWAZIRI WALIOACHWA HAWA HAPA

๐Œ๐‰๐”๐„ ๐Š๐€๐‚๐‡๐„๐‘๐Ž ๐Œ๐™๐„๐๐€

HISTORIA YA MAREHEMU MC PILIPILI

VITU 10 WANAUME WANAVYOPENDA ZAIDI TOKA KWA MWANAMKE — SIYO SURA, SIYO MWILI ❤️

USIKUBALI KUWA LOFA KWA MWANAMKE...

NAPE AWAPA UKWELI VIJANA