WAZIRI MKUU MGENI RASMI SHEREHE YA DKT. CHANDE KUSIMIKWA UASKOFU MKUU

Katibu Mkuu wa Kanisa la Karmeli Assemblies of God (KAG), akielezea kuhusu maandalizi ya sherehe ya kusimikwa  kwa Askofu Mkuu wa Kanisa hilo, Dkt. Evance Chande zitakazo fanyika eneo la kanisa hilo Ipagala jijini Dodoma kesho Jumamosi Aprili 19, 2025. Maandalizi hayo yameenda sambamba na waumini kujitolea damu ya kusaidia wagonjwa katika Hospitali ya Benjamin Mkapa.

Mgeni rasmi katika tukio hilo muhimu anatarajiwa kuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa.

Askofu Mteule Evance Chande.

Baadhi ya waumini wa kanisa hilo wakichangia damu katika shughuli iliyofanyika katika Kanisa la KAG.
















 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

UKWELI KUHUSU TENDO LA NDOA NA FAIDA ZAKE

HUYU NDIYE WANU HAFIDH, CHAMPIONI WA ELIMU

MAWAZIRI WALIOACHWA HAWA HAPA

๐Œ๐‰๐”๐„ ๐Š๐€๐‚๐‡๐„๐‘๐Ž ๐Œ๐™๐„๐๐€

HISTORIA YA MAREHEMU MC PILIPILI

VITU 10 WANAUME WANAVYOPENDA ZAIDI TOKA KWA MWANAMKE — SIYO SURA, SIYO MWILI ❤️

USIKUBALI KUWA LOFA KWA MWANAMKE...

NAPE AWAPA UKWELI VIJANA