YANGA YATINGA NUSU FAINALI KOMBE LA MUUNGANO


 MABINGWA wa Tanzania Bara, Yanga   kuingia Nusu Fainali ya Kombe la Mapinduzi, michuano hiyo maalum ya kuazimisha miaka 61 ya Muungano baada ya ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya KVZ usiku huu Uwanja wa Gombani, Pemba.

Ilikuwa siku nzuri kwa winga Dennis David Nkane aliyetoa pasi ya bao la kwanza lililofungwa na kiungo Mburkinabe, Stephane Aziz Ki dakika ya 28, kabla ya yeye mwenyewe kufunga la pili dakika ya 86.

Yanga sasa itakutana na Zimamoto iliyoitoa Singida Black Stars katika mchezo wa Nusu Fainali Jumanne, wakati Jumatatu itachezwa Nusu Fainali ya kwanza kati ya Azam FC na JKU.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

UKWELI KUHUSU TENDO LA NDOA NA FAIDA ZAKE

HUYU NDIYE WANU HAFIDH, CHAMPIONI WA ELIMU

MAWAZIRI WALIOACHWA HAWA HAPA

๐Œ๐‰๐”๐„ ๐Š๐€๐‚๐‡๐„๐‘๐Ž ๐Œ๐™๐„๐๐€

HISTORIA YA MAREHEMU MC PILIPILI

VITU 10 WANAUME WANAVYOPENDA ZAIDI TOKA KWA MWANAMKE — SIYO SURA, SIYO MWILI ❤️

USIKUBALI KUWA LOFA KWA MWANAMKE...

NAPE AWAPA UKWELI VIJANA