AMAR ATAKA SHERIA YA UCHENJUAJI MADINI IREKEBISHWE


 Mbunge wa Nyang'wale, Hussein Amar ameitaka serikali kuwawezesha wachimbaji wadogo wa madini kwa kuwapatia mikopo ili kuwaendeleza na kuongeza pato la Taifa.


Aidha ameshauri kupigwa marufuku kusafirisha madini ghafi nje ya nchi na kutaka yawe yanaongezwa thamani hapa hapa nchini.

IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA 
MSIMAMIZI MKUU 
KAMANDA WA MATUKIO ONLINE TV
 0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

UKWELI KUHUSU TENDO LA NDOA NA FAIDA ZAKE

HUYU NDIYE WANU HAFIDH, CHAMPIONI WA ELIMU

MAWAZIRI WALIOACHWA HAWA HAPA

๐Œ๐‰๐”๐„ ๐Š๐€๐‚๐‡๐„๐‘๐Ž ๐Œ๐™๐„๐๐€

HISTORIA YA MAREHEMU MC PILIPILI

VITU 10 WANAUME WANAVYOPENDA ZAIDI TOKA KWA MWANAMKE — SIYO SURA, SIYO MWILI ❤️

USIKUBALI KUWA LOFA KWA MWANAMKE...

NAPE AWAPA UKWELI VIJANA