DKT SAMIA AONGOZA KIKAO CHA HALAMASHAURI KUU YA TAIFA YA CCM DODOMA

 Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais Dk.  Samia Suluhu Hassan,  ameongoza kikao cha Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) Kilichofanyika leo jijini Dodoma.


Dk. Samia ameongoza kikao hicho leo May 28 katika Ukumbi wa NEC uliopo Makao Makuu ya CCM (Whitehouse) jijini Dodoma.






Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

UKWELI KUHUSU TENDO LA NDOA NA FAIDA ZAKE

HUYU NDIYE WANU HAFIDH, CHAMPIONI WA ELIMU

MAWAZIRI WALIOACHWA HAWA HAPA

๐Œ๐‰๐”๐„ ๐Š๐€๐‚๐‡๐„๐‘๐Ž ๐Œ๐™๐„๐๐€

HISTORIA YA MAREHEMU MC PILIPILI

VITU 10 WANAUME WANAVYOPENDA ZAIDI TOKA KWA MWANAMKE — SIYO SURA, SIYO MWILI ❤️

USIKUBALI KUWA LOFA KWA MWANAMKE...

NAPE AWAPA UKWELI VIJANA