KUKU WOTE KUCHANJWA BURE - WAZIRI DKT. KIJAJI


 WAZIRI wa Mifugo na Uvuvi, Dkt. Ashatu Kijaji amesema kuwa Serikali imeandaa mpango wa kutoa chanjo ya bure kwa kuku wote nchini.

Mpango huo ameutangaza alipokuwa akizungumza na vyombo vya habari katika Idara ya Habari- MAELEZO jijini Dodoma Mei 6, 2025, kuhusu mafanikio ya wizara hiyo katika miaka minne ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

UKWELI KUHUSU TENDO LA NDOA NA FAIDA ZAKE

HUYU NDIYE WANU HAFIDH, CHAMPIONI WA ELIMU

MAWAZIRI WALIOACHWA HAWA HAPA

๐Œ๐‰๐”๐„ ๐Š๐€๐‚๐‡๐„๐‘๐Ž ๐Œ๐™๐„๐๐€

HISTORIA YA MAREHEMU MC PILIPILI

VITU 10 WANAUME WANAVYOPENDA ZAIDI TOKA KWA MWANAMKE — SIYO SURA, SIYO MWILI ❤️

USIKUBALI KUWA LOFA KWA MWANAMKE...

NAPE AWAPA UKWELI VIJANA