ZIJUE KAZI KUMI DUNIANI AMBAZO AKILI MNEMBA HAITAWEZA KUCHUKUA NAFASI


Kwa mujibu wa  Harvard Business Review, Forbes, World Economic Forum wameorodhesha orodha ya kazi kumi duniani ambazo Akili mnemba (AI) haitaweza kuchukua nafasi.

Hii inakuja mara baada ya AI kuonekana kuteka soko sana katika kona mbalimbali za kazi duniani na kuacha wanadamu wengi vinywa wazi bila ajira za kufanya.

Hizi hapa Kazi 10 Ambazo AI Haiwezi Kuchukua Nafasi

1️⃣ Mtaalamu wa tiba
2️⃣ Fundi umeme
3️⃣ Nesi
4️⃣ Mfanyakazi wa Jamii
5️⃣ Mwalimu (hasa utotoni)
6️⃣ Fundi bomba
7️⃣ Mwandishi Mbunifu
8️⃣ Mwanamitindo wa nywele
9️⃣ Tabibu wa Kazi
๐Ÿ”Ÿ Mshauri wa Mgogoro

Chanzo: Harvard Business Review, Forbes, World Economic Forum



 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

UKWELI KUHUSU TENDO LA NDOA NA FAIDA ZAKE

HUYU NDIYE WANU HAFIDH, CHAMPIONI WA ELIMU

MAWAZIRI WALIOACHWA HAWA HAPA

๐Œ๐‰๐”๐„ ๐Š๐€๐‚๐‡๐„๐‘๐Ž ๐Œ๐™๐„๐๐€

HISTORIA YA MAREHEMU MC PILIPILI

VITU 10 WANAUME WANAVYOPENDA ZAIDI TOKA KWA MWANAMKE — SIYO SURA, SIYO MWILI ❤️

USIKUBALI KUWA LOFA KWA MWANAMKE...

NAPE AWAPA UKWELI VIJANA