MWANYIKA ANG'AKA BUNGENI UJENZI WA BARABARA YA ZEGE UNAVYOSUASUA


 Mbunge wa Njombe Mjini, Deodatus Mwanyika ameitaka serikali kubadilisha ujenzi wa Barabara ya Itoni - Lusitu badala ya kujenga kwa zege yenye gharama kubwa, ijengwe kwa kiwango cha lami ili ikamilike haraka.

Ameyasema hayo wakati wa kipindi cha maswali bungeni Dodoma Mei 2, 2025.


IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA

MSIMAMIZI MKUU

KAMANDA WA MATUKIO ONLINE TV

0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

UKWELI KUHUSU TENDO LA NDOA NA FAIDA ZAKE

HUYU NDIYE WANU HAFIDH, CHAMPIONI WA ELIMU

MAWAZIRI WALIOACHWA HAWA HAPA

๐Œ๐‰๐”๐„ ๐Š๐€๐‚๐‡๐„๐‘๐Ž ๐Œ๐™๐„๐๐€

HISTORIA YA MAREHEMU MC PILIPILI

VITU 10 WANAUME WANAVYOPENDA ZAIDI TOKA KWA MWANAMKE — SIYO SURA, SIYO MWILI ❤️

USIKUBALI KUWA LOFA KWA MWANAMKE...

NAPE AWAPA UKWELI VIJANA