POLENI BABA ASKOFU


 Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, akiwasalimia na kuwapatia pole viongozi wa dini, wakiongozwa na Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania, Baba Askofu Alex Gehaz Malasusa, wakati wa mazishi ya kitaifa ya Hayati Mzee Cleopa David Msuya, Makamu wa Rais wa Kwanza na Waziri Mkuu Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, yaliyoongozwa na Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, katika Kijiji cha Chomvu, Mwanga, mkoani Kilimanjaro, Jumanne, tarehe 13 Mei 2025. Shughuli hiyo ilitanguliwa na ibada ya kumuaga Hayati Msuya iliyofanyika katika Kanisa la KKKT, Kristo Mchungaji Mwema, Usharika wa Usangi Kivindu, Dayosisi ya Mwanga, Jimbo la Kaskazini.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

UKWELI KUHUSU TENDO LA NDOA NA FAIDA ZAKE

HUYU NDIYE WANU HAFIDH, CHAMPIONI WA ELIMU

MAWAZIRI WALIOACHWA HAWA HAPA

๐Œ๐‰๐”๐„ ๐Š๐€๐‚๐‡๐„๐‘๐Ž ๐Œ๐™๐„๐๐€

HISTORIA YA MAREHEMU MC PILIPILI

VITU 10 WANAUME WANAVYOPENDA ZAIDI TOKA KWA MWANAMKE — SIYO SURA, SIYO MWILI ❤️

USIKUBALI KUWA LOFA KWA MWANAMKE...

NAPE AWAPA UKWELI VIJANA