RAIS HERSI, RAIS KARIA WATINGA BUNGENI DODOMA


 Rais wa Kalabu ya Yanga, Hersi Said (Kushoto) na Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF),  Karia Wallace (kulia) wakiwa eneo la wageni wa Spika bungeni Dodoma leo asubuhi Mei 7, 2025, wakisubiri kusikiliza mjadala makadirio ya Bajeti ya Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo. Katikati ni Mkurugenzi Mtendaji wa CLOUDS TV, Joseph Kusaga.

PICHA NA RICHARD MWAIKENDA

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

UKWELI KUHUSU TENDO LA NDOA NA FAIDA ZAKE

HUYU NDIYE WANU HAFIDH, CHAMPIONI WA ELIMU

MAWAZIRI WALIOACHWA HAWA HAPA

๐Œ๐‰๐”๐„ ๐Š๐€๐‚๐‡๐„๐‘๐Ž ๐Œ๐™๐„๐๐€

HISTORIA YA MAREHEMU MC PILIPILI

VITU 10 WANAUME WANAVYOPENDA ZAIDI TOKA KWA MWANAMKE — SIYO SURA, SIYO MWILI ❤️

USIKUBALI KUWA LOFA KWA MWANAMKE...

NAPE AWAPA UKWELI VIJANA