RAIS SAMIA WA KWANZA KUFANIKISHA UREKEBU WA SHERIA


 RAIS Samia Suluhu Hassan amekuwa Rais wa kwanza kufanikisha urekebu wa sheria na kuwezesha sheria 300 kati ya 446 kubadilishwa kutoka Lugha ya Kiingereza kuwa katika Lugha ya kiswahili.

Haya yamebainishwa na Waziri wa Katiba na Sheria, Dkt. Damas Ndumbaro slipokuwa skizungumza na vyombo vya habari katika Idara ya Habari Maelezo jijini Dodoma Mei 20,2025, kuelezea mafanikio ya miaka minne ya Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Samia.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

UKWELI KUHUSU TENDO LA NDOA NA FAIDA ZAKE

HUYU NDIYE WANU HAFIDH, CHAMPIONI WA ELIMU

MAWAZIRI WALIOACHWA HAWA HAPA

๐Œ๐‰๐”๐„ ๐Š๐€๐‚๐‡๐„๐‘๐Ž ๐Œ๐™๐„๐๐€

HISTORIA YA MAREHEMU MC PILIPILI

VITU 10 WANAUME WANAVYOPENDA ZAIDI TOKA KWA MWANAMKE — SIYO SURA, SIYO MWILI ❤️

USIKUBALI KUWA LOFA KWA MWANAMKE...

NAPE AWAPA UKWELI VIJANA