USHAURI MURWA WA PROF. MUHONGO BUNGENI DODOMA LEO



Mbunge wa Jimbo la Musoma Vijijini, Prof Sospeter Muhongo, ameongelea ujenzi wa barabara la Jimboni mwake - barabara la Musoma-Makojo-Busekera (92 km)

Vilevile, Mbunge huyo ametoa ushauri kuhusu vyanzo vya upatikanaji wa fedha za ujenzi wa barabara za lami za nchini mwetu.

Tafadhali msikilize Prof Muhongo kutoka kwenye CLIP/VIDEO iliyoambatanishwa hapa.

Ofisi ya Mbunge 
Jimbo la Musoma Vijijini 
www.musomavijijini.or.tz 

P. O. Box 6
Musoma 

Tarehe:
Jumanne, 6 May 2025




 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

UKWELI KUHUSU TENDO LA NDOA NA FAIDA ZAKE

HUYU NDIYE WANU HAFIDH, CHAMPIONI WA ELIMU

MAWAZIRI WALIOACHWA HAWA HAPA

๐Œ๐‰๐”๐„ ๐Š๐€๐‚๐‡๐„๐‘๐Ž ๐Œ๐™๐„๐๐€

HISTORIA YA MAREHEMU MC PILIPILI

VITU 10 WANAUME WANAVYOPENDA ZAIDI TOKA KWA MWANAMKE — SIYO SURA, SIYO MWILI ❤️

USIKUBALI KUWA LOFA KWA MWANAMKE...

NAPE AWAPA UKWELI VIJANA