Mafanikio ya Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya Miaka Mitano (2020-2025) ndani ya Jimbo la Musoma Vijijini



 * 

Wiki ijayo: Vikao Maalum vya CCM Wilaya
1. Halmashauri Kuu ya Wilaya
2. Mkutano Mkuu wa Wilaya

Vikundi vinavyojitayarisha kutoa burudani:

1. Zeze ya Kata ya Bukima
2. Lirandi la Kata ya Bugwema 
3. Kiwajaki ya Kata ya Kiriba
4. Washika Jembe ya Kata ya Tegeruka

Vikundi vya Nyimbo:
5. Kwaya ya Kata ya Bugoji
6. Wande Group ya Kata ya Tegeruka 

Matayarisho yanaendelea....
*Vitabu (Volumes III, IV, V na VI) vimechapishwa na vinagawiwa bure

*Vipeperushi vinatayarishwa, mfano mmoja umeambatanishwa hapa

Tarehe zitatolewa Jumatatu baada ya Mbunge kujipanga kwenye shughuli za Bunge la Bajeti

Sospeter Muhongo (Mb)
Dodoma
Jumamosi, 14 Juni 2025

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

UKWELI KUHUSU TENDO LA NDOA NA FAIDA ZAKE

HUYU NDIYE WANU HAFIDH, CHAMPIONI WA ELIMU

MAWAZIRI WALIOACHWA HAWA HAPA

๐Œ๐‰๐”๐„ ๐Š๐€๐‚๐‡๐„๐‘๐Ž ๐Œ๐™๐„๐๐€

HISTORIA YA MAREHEMU MC PILIPILI

VITU 10 WANAUME WANAVYOPENDA ZAIDI TOKA KWA MWANAMKE — SIYO SURA, SIYO MWILI ❤️

USIKUBALI KUWA LOFA KWA MWANAMKE...

NAPE AWAPA UKWELI VIJANA