NJEZA APONGEZWA BAADA YA KUWASILISHA KWA UFASAHA TAARIFA YA KAMATI YA BAJETI KUU YA SERIKALI

Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti, Oran Njeza akipongezwa na Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba baada ya kuwasilisha vyema taarifa ya kamati hiyo bungeni Dodoma Juni 16,2025, kuhusu hali ya uchumi wa Taifa kwa mwaka 2024. Mpango wa Maendeleo wa Taifa kwa Mwaka wa Fedha 2025/2026 na Tathmini ya Utekelezaji wa Bajeti ya Serikali kwa Mwaka 2024/2025 pamoja na mapendekezo ya makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa mwaka wa Fedha 2025/2026.
Hapa akipewa mkono wa pongezi na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Mipango na Uwezeshaji, Prof. Kitilla Mkumbo.

Akipongezwa na Naibu Waziri wa Fedha, Hamad Hassan Chande
Njeza ambaye pia ni Mbunge wa Mbeya Vijijini, akiwasilisha taarifa hiyo.


 IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA

MSIMAMIZI MKUU

KAMANDA WA MATUKIO ONLINE TV

0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

UKWELI KUHUSU TENDO LA NDOA NA FAIDA ZAKE

HUYU NDIYE WANU HAFIDH, CHAMPIONI WA ELIMU

MAWAZIRI WALIOACHWA HAWA HAPA

๐Œ๐‰๐”๐„ ๐Š๐€๐‚๐‡๐„๐‘๐Ž ๐Œ๐™๐„๐๐€

HISTORIA YA MAREHEMU MC PILIPILI

VITU 10 WANAUME WANAVYOPENDA ZAIDI TOKA KWA MWANAMKE — SIYO SURA, SIYO MWILI ❤️

USIKUBALI KUWA LOFA KWA MWANAMKE...

NAPE AWAPA UKWELI VIJANA