OLE WAO WATANAOTUMIA MITANDAO VIBAYA - MSEMAJI MKUU WA SERIKALI


 Msemaji Mkuu wa Serikali ambaye pia ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari Utamaduni, Sanaa na Michezo, Gerson Msigwa amesema kuwa wale wote wanaofanya makosa mtandaoni wakae wakijua kuwa ni kosa la kijinai ipo siku watakumbwa na mkono wa sheria.

Ametoa onyo hilo alipokuwa akizungumza na vyombo vya habari kuhusu maendeleo mbalimbali yanayoendelea nchini, katika mkutano uliofanyika katika viwanja vya jengo jipya la wizara kwenye Mji wa Kiserikali wa Mtumba Makao Makuu ya Nchi Dodoma Juni 11, 2025.IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA 
MSIMAMIZI MKUU 
KAMANDA WA MATUKIO ONLINE TV 
0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

UKWELI KUHUSU TENDO LA NDOA NA FAIDA ZAKE

HUYU NDIYE WANU HAFIDH, CHAMPIONI WA ELIMU

MAWAZIRI WALIOACHWA HAWA HAPA

๐Œ๐‰๐”๐„ ๐Š๐€๐‚๐‡๐„๐‘๐Ž ๐Œ๐™๐„๐๐€

HISTORIA YA MAREHEMU MC PILIPILI

VITU 10 WANAUME WANAVYOPENDA ZAIDI TOKA KWA MWANAMKE — SIYO SURA, SIYO MWILI ❤️

USIKUBALI KUWA LOFA KWA MWANAMKE...

NAPE AWAPA UKWELI VIJANA