Mbunge wa Jimbo la Musoma Vijijini, Prof Sospeter Muhongo ametoa mchango wake Bungeni akielezea mengi yakiwemo:
*Musoma Vijijini wameamua kujenga zahanati moja kila kijiji. Jumla ya vijiji ni 68
*Taifa lisomeshe vijana wengi kwenye eneo la "radiology" ili matumizi ya vifaa tiba kama CT scan, MRI, X-ray na Ultrasound machine yapate wataalamu wa kutosha.
Taafadhali sikiliza mchango wa Prof Muhongo kutoka kwenye CLIP/VIDEO iliyoambatanishwa hapa.
Ofisi ya Mbunge
Jimbo la Musoma Vijijini
www.musomavijijini.or.tz
Tarehe:
Jumatatu, 2 Juni 2025

Comments