PROF. MUHONGO ATOA USHAURI MAKINI BAJETI WIZARA YA AFYA



Mbunge wa Jimbo la Musoma Vijijini, Prof Sospeter Muhongo ametoa mchango wake Bungeni akielezea mengi yakiwemo:

*Musoma Vijijini wameamua kujenga zahanati moja kila kijiji. Jumla ya vijiji ni 68

*Taifa lisomeshe vijana wengi kwenye eneo la "radiology" ili matumizi ya vifaa tiba kama CT scan, MRI, X-ray na Ultrasound machine yapate wataalamu wa kutosha.

Taafadhali sikiliza mchango wa Prof Muhongo kutoka kwenye CLIP/VIDEO iliyoambatanishwa hapa.

Ofisi ya Mbunge
Jimbo la Musoma Vijijini 
www.musomavijijini.or.tz 

Tarehe:
Jumatatu, 2 Juni 2025



 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

UKWELI KUHUSU TENDO LA NDOA NA FAIDA ZAKE

HUYU NDIYE WANU HAFIDH, CHAMPIONI WA ELIMU

MAWAZIRI WALIOACHWA HAWA HAPA

๐Œ๐‰๐”๐„ ๐Š๐€๐‚๐‡๐„๐‘๐Ž ๐Œ๐™๐„๐๐€

HISTORIA YA MAREHEMU MC PILIPILI

VITU 10 WANAUME WANAVYOPENDA ZAIDI TOKA KWA MWANAMKE — SIYO SURA, SIYO MWILI ❤️

USIKUBALI KUWA LOFA KWA MWANAMKE...

NAPE AWAPA UKWELI VIJANA