Serikali imetoa fedha nyingi kwa ajili ya ujenzi wa sekondari mpya nne Jimboni mwetu. Wanavijiji na Viongozi wao, kwa njia mbalimbali, wameshiriki vizuri kwenye uchangiaji wa ujenzi huu.
Sherehe za uzinduzi wa sekondari mpya:
(i) Butata Sekondari, Kijijini Butata
Hii ni sekondari ya pili ya Kata ya Bukima. Kata hii ina vijiji vitatu.
Sherehe za ufunguzi zimeishafanyika
(ii) David Massamba Memorial Secondary School, Kijijini Kurwaki
Hii ni sekondari ya pili ya Kata ya Mugango. Kata hii ina vijiji vitatu.
Sherehe za ufunguzi zimeishafanyika
(iii) SEKONDARI YA AMALI YA NYAMRANDIRIRA, Kijijini Kasoma
Hii ni sekondari ya tatu ya Kata hii. Kata ina vijiji vitano.
Tarehe ya Sherehe:
Leo
Jumamosi, 7 Juni 2025
.jpg)
Comments