SHEREHE ZA UZINDUZI WA SEKONDARI MPYA MUSOMA VIJIJINI

Serikali imetoa fedha nyingi kwa ajili ya ujenzi wa sekondari mpya nne Jimboni mwetu. Wanavijiji na Viongozi wao, kwa njia mbalimbali, wameshiriki vizuri kwenye uchangiaji wa ujenzi huu. 


Sherehe za uzinduzi wa sekondari mpya:


(i) Butata Sekondari, Kijijini Butata

Hii ni sekondari ya pili ya Kata ya Bukima. Kata hii ina vijiji vitatu.


Sherehe za ufunguzi zimeishafanyika


(ii) David Massamba Memorial Secondary School, Kijijini Kurwaki


Hii ni sekondari ya pili ya Kata ya Mugango. Kata hii ina vijiji vitatu.


Sherehe za ufunguzi zimeishafanyika


(iii) SEKONDARI YA AMALI YA NYAMRANDIRIRA, Kijijini Kasoma


Hii ni sekondari ya tatu ya Kata hii. Kata ina vijiji vitano.


Tarehe ya Sherehe:

Leo

Jumamosi, 7 Juni 2025


Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

UKWELI KUHUSU TENDO LA NDOA NA FAIDA ZAKE

HUYU NDIYE WANU HAFIDH, CHAMPIONI WA ELIMU

MAWAZIRI WALIOACHWA HAWA HAPA

๐Œ๐‰๐”๐„ ๐Š๐€๐‚๐‡๐„๐‘๐Ž ๐Œ๐™๐„๐๐€

HISTORIA YA MAREHEMU MC PILIPILI

VITU 10 WANAUME WANAVYOPENDA ZAIDI TOKA KWA MWANAMKE — SIYO SURA, SIYO MWILI ❤️

USIKUBALI KUWA LOFA KWA MWANAMKE...

NAPE AWAPA UKWELI VIJANA