PROF. MUHONGO ACHANGIA KWA KINA DIRA YA 2050

LEO BUNGENI DODOMA

Dira ya Maendeleo (Vision 2050, 2025-2050)

Prof Sospeter Muhongo, Mbunge wa Jimbo la Musoma Vijijini ametoa mapendekezo ya ukuaji wa uchumi wetu ili kufikia malengo ya Vision 2050

Malengo makuu:
 Ifikapo Mwaka 2050 uchumi -
(i) Pato la Taifa (GDP): USD 1.0 Trillion 
(ii) GDP per capita: USD 7,000

Mapendekezo ya Prof Muhongo:
(i) Uchumi ukue kwa 10% kwa mwaka
(ii) Bidhaa za Sekta 6 za Uzalishaji zikuze uchumi kwa kasi kubwa
(iii) Vyanzo vipya vya mapato
(iv) Utumiaji mkubwa wa umeme mwingi (viwanda)

CLIP/VIDEO kutoka Bungeni:
Tafadhali msikilize Prof Muhongo kutoka kwenye CLIP/VIDEO iliyoambatanishwa hapa

Ofisi ya Mbunge 
Jimbo la Musoma Vijijini 
www.musomavijijini.or.tz 

P. O. Box 6
Musoma

Tarehe: 4 Feb 2026



 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

MIKOA 10 YENYE KIPATO KIKUBWA ZAIDI KWA MTU MMOJA MMOJA

BODABODA ALIPWA PIKIPIKI BAADA KUSAFIRI KWA BODA KWA SAA 10 MBEYA HADI DAR

ASANTE GWIJI YAYA TOURE KWA KUPASUA UKWELI UKWELI KUPENDELEWA KWA MOROCCO

CONFIRMED HAWA NDIO WACHEZAJI WETU 12 WA KIGENI 🦾

'MAREKANI IKIJARIBU KUANZISHA VITA NA URUSI ITAANGAMIA'

NYOMI YA WASENEGALI WAKISHANGILIA UBINGWA WA AFCON 2025

RAIS WA SENEGAL AWAPATIA ZAWADI NONO WACHEZAJI WALIOFANIKISHA UBINGWA WA AFCON 2025

MAREKANI YAITEKA MELI YA MAFUTA YA URUSI IKITOKEA VENEZUERA