JK AKIMNADI MEMBE


Mtama 103.  Mgombea Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi Mheshimiwa Jakaya Kikwete akimnadi mgombea ubunge wa jimbo la Mtama mkoani Lindi Ndugu Bernard Membe wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika katika mji wa Nyangao tarehe 20.10.2010.
 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MUSTAFA MKULO AFARIKI DUNIA

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

YANGA BADO POINTI 2 TU ITANGAZE UBINGWA

MAKALLA ASHANGILIWA BUNGENI

PROF NDAKIDEMI: TULETEENI MIRADI, TUWALIPE NYAMA NA SAMAKI

CHATANDA ANENA MAKUBWA MAADHIMISHO SIKU YA FAMILIA DUNIANI

NJEZA AWASILISHA VYEMA TAARIFA YA MAKADIRIO YA BAJETI YA MFUKO WA MAHAKAMA