TWIGA STARS YAENDA BOTSWANA

Naibu waziri wa habari utamaduni na michezo Mh Joel Bendera akimkabidhi nahodha wa timu ya taifa Sophia Mwasikile bendela ya jamhuri ya muungano wa Tanzania na cd ya wimbo wa Taifa ,Timu hiyo inaondoka kesho kwenda Gaborone Botswana kucheza mechi ya kirafiki na botswana na baadae kuelekea nchini Afrika kusini kushiriki michuano ya mataifa ya Afrika ya wanawake yanayoanza mwezi ujao mwaka huu.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MUSTAFA MKULO AFARIKI DUNIA

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

YANGA BADO POINTI 2 TU ITANGAZE UBINGWA

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

MAKALLA ASHANGILIWA BUNGENI

BASHASHA LATAWALA NCHIMBI ALIPOLAKIWA NA CHONGOLO SONGWE

DKT NCHIMBI AKARIBISHWA KIMILA NYUMBANI RUVUMA

DKT NCHIMBI AZURU KABURI LA JOHN KOMBA LITUHI, NYASA