TWIGA STARS YAENDA BOTSWANA

Naibu waziri wa habari utamaduni na michezo Mh Joel Bendera akimkabidhi nahodha wa timu ya taifa Sophia Mwasikile bendela ya jamhuri ya muungano wa Tanzania na cd ya wimbo wa Taifa ,Timu hiyo inaondoka kesho kwenda Gaborone Botswana kucheza mechi ya kirafiki na botswana na baadae kuelekea nchini Afrika kusini kushiriki michuano ya mataifa ya Afrika ya wanawake yanayoanza mwezi ujao mwaka huu.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAMBO 5 YA KILA MWANANDOA KUFAHAMU