TWIGA STARS YAENDA BOTSWANA

Naibu waziri wa habari utamaduni na michezo Mh Joel Bendera akimkabidhi nahodha wa timu ya taifa Sophia Mwasikile bendela ya jamhuri ya muungano wa Tanzania na cd ya wimbo wa Taifa ,Timu hiyo inaondoka kesho kwenda Gaborone Botswana kucheza mechi ya kirafiki na botswana na baadae kuelekea nchini Afrika kusini kushiriki michuano ya mataifa ya Afrika ya wanawake yanayoanza mwezi ujao mwaka huu.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MWANAMKE ALIYEVUNJA REKODI KWA KUZAA WATOTO 69

BODI YA LIGI YAKIRI MAKOSA, WAIOMBA YANGA WAYAMALIZE

#MAKINIKIA: HEKAYA FUPI YA MJI WA KIHISTORIA WA MOSHI MKOANI KILIMANJARO

HUU NDIO UKWELI ULIVYO RAFIKI YANGU

BODI YA LIGI SASA WAOMBA HEKIMA NA BUSARA ITUMIKE DERBY YA YANGA, SIMBA

RATIBA KAMILI YA HARUSI YA DIAMOND, ZUCHU

TANZANIA NI MIONGONI MWA NCHI 10 ZINAZOONGOZA KWA MAZAO YA KILIMO AFRIKA

ZIJUE TABIA 9 ZA WANAWAKE HAWA....